Wednesday, February 10, 2010

Nina swali

Niko ninaandika makala (paper) kwa darasa yangu. Makala ni kuhusu elimu, serikali na kiwanda katika Kenya na jinsi zinahusu endeleo. Ikiwa watu wote wana habari au vitabu kuhusu mambo haya, lazima uniambie tafadhali. Asante.

No comments:

Post a Comment